×

Michezo

Tutawaonesha Kazi Orlando Pirates Kwao, Ahmed Ally Atamba Kutinga Nusu Fainali

BAADA ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Kombe...

READ MORE

Klabu ya Simba Yatoa Taarifa kwa Umma Kuhusu Kuchukua Hatua kwa Kocha wa Orlando

KLABU ya Soka ya Simba imetoa taarifa kwa Umma juu ya hatua iliyochukua kutokana na kauli zilizotolewa na Kocha wa...

READ MORE

Aucho Anaidai Yanga, Kagoma Kucheza? – Injinia Hersi Afunguka Ukweli Wote – Video

Global Tv imefanya mahojiano na mjumbe wa kamati ya Usajili wa Yanga, Injinia Hersi Said na amefunguka tetesi za kiungo...

READ MORE

Kiungo wa Simba Hassan Dilunga Kukaa Nje ya Uwanja kwa Wiki Nne Afanyiwa Upasuaji

KIUNGO mshambuliaji fundi wa Simba, Hassan Dilunga, anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa wiki nne baada ya kufanyiwa upasuaji mdogo....

READ MORE

Nabi Ajifungia Kumsoma Sakho Akijiandaa na Kariakoo Dabi Aprili 30 kwa Mkapa

BENCHI la Ufundi la Yanga pamoja na wachezaji wa timu hiyo, waliutumia mchezo wa Robo Fainali wa Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Simba Queens Waikataa Dabi Yao na Yanga Princess bora Fountain Princess

MENEJA wa Simba Queens, Seleman Makanya, amesema kwa sasa hawana tena dabi na Yanga Princess, ni bora wahamie kwa Fountain...

READ MORE

Ligi ya Beach Soccer Imeendelea Tena Katika Viwanja vya Coco Beach

LIGI ya Beach Soccer imeendelea  katika viwanja vya Coco Beach ambapo mechi za makundi mawili A na B zilichezwa.  ...

READ MORE

Meneja wa Mwamnyeto Afunguka, Adai Simba Wanamsumbua Mteja Wake

MENEJA wa Mchezaji wa Yanga Bakari Mwamnyeto aitwaye Kassa Mussa amedai Klabu ya Simba inamsumbua sana juu ya uwezekano wa...

READ MORE

Kocha wa Orlando Acharuka, Adai Klabu yake Haikustahili Kufungwa na Simba

KOCHA wa Orlando Pirates Mandla Ncikazi amesema klabu yake ya Orlando Pirates haikustahili kufungwa katika mchezo huo kutokana na kwamba...

READ MORE

Mambo ni Moto Yanga… Kaze na Injinia Hersi Wamshusha Bigirimana kwa Mil 400

WAKATI Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Injinia Hersi Said na Kocha Msaidizi, Cedric Kaze wakienda Rwanda kukamilisha...

READ MORE

Simba Yaitandika Orlando Pirates 1-0, Sasa Kujiandaa na Mechi ya Marudiano Wiki Ijayo

KLABU ya soka ya Simba imefanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Klabu ya Orlando Pirates ya nchini Afrika...

READ MORE

Chelsea Yafanikiwa Kutinga Fainali ya FA, Kumenyana na Liverpool Mwezi Mei

KLABU ya Chelseas imefanikiwa kutinga Fainali ya Kombe la FA baada ya kuifunga Crystal Palace kwa jumla ya mabao 2-0....

READ MORE

Baada ya Bigirimana… Chuma Kingine Kinatua Yanga Polisi FC Kutoka Rwanda

BAADA ya Yanga SC kuwa na wakati mzuri wa kuipata saini ya kiungo wa Kiyovu ya Rwanda, Obed Bigirimana, inaelezwa...

READ MORE

TFF yafanya kweli Beach SOCCER, Friends of Mkwajuni Yaanza kwa Kishindo

  MICHUANO ya Tanzania Football Federation Beach Soccer Super League, imeendelea kulindima jioni ya leo katika eneo la Coco Beach,...

READ MORE

Yanga Yakubali Kuishangilia Simba Uwanja wa Mkapa leo Dhidi ya Orlando

UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umesema leo Jumapili utakuwepo kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, kwa ajili ya kuisapoti Simba itakapokuwa...

READ MORE

Morrison Aonywa Kuhusu VAR Uwanja wa Mkapa, Dar Leo Dhidi ya Orlando Pirates

KUFUATIA kutumika kwa mara ya kwanza mfumo wa video wa kumsaidia mwamuzi (VAR) hapa Tanzania katika mchezo wao wa leo...

READ MORE

Sakho Aipa Jeuri Simba Dhidi ya Orlando Pirates Kombe la Shirikisho Leo Kwa Mkapa

MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, ameweka wazi kuwa, kikosi hicho kitaibuka na ushindi katika mchezo wao wa leo...

READ MORE

Pablo, Kapombe Wadai Orlando Anakufa, Mashabiki Wajae kwa Mkapa

KOCHA wa Klabu ya soka ya Simba Pablo Franco Martin amesema kwa upande wao kama timu wapo vizuri kuanzia benchi...

READ MORE

Kiungo wa Manchester United Matic Atangaza Rasmi Kuondoka Klabuni

KIUNGO mkabaji wa klabu ya Manchester United raia wa Serbia Nemanja Matic amesema mwisho wa msimu huu anaondoka katika klabu...

READ MORE

Kisa Simba, Nabi Apiga Mkwara Mzito Kambini Yanga, Ataka Waiwaze Namungo 

KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi amewapiga mkwara mastaa wake kwa kuwataka kutofikiria mchezo wa Dabi ya Kariakoo na...

READ MORE

Familia ya Ricketts Imesitisha Ofa Yao ya Kuinunua Klabu ya Chelsea

TAARIFA iliyotolewa na Kampuni ya uwekezaji ya Ricketts imedai kuwa wameamua kujitoa kutokana na mambo kadhaa kutoelezewa vizuri juu ya...

READ MORE

CAF na FA Kunogesha Wikiendi Yako, Tiketi ya Ushindi Ipo Meridianbet Pekee!

NI hatua ya robo fainali kunako mashindano ya Afrika wakati barani Ulaya, ni mitanange ya nusu fainali ya Kombe la...

READ MORE

Mshambuliaji wa Zanaco Phiri aitaka namba ya Yacouba Yanga, Adai ina Bahati

MSHAMBULIAJI wa Zanaco ya Zambia, Moses Phiri ambaye anahusishwa kujiunga na Yanga amesema kuwa anatamani kuona anavaa jezi namba 10...

READ MORE

Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Chico Majanga Tena, Aumia Akiwa Mazoezini

KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Chico Ushindi, tangu ajiunge na timu hiyo amekuwa akikumbwa na majeraha ya mara kwa mara hali...

READ MORE

Kisa Simba… Fei Toto, Aucho Wawekwa Chini ya Uangalizi Yanga, Wameanza Mazoezi

JOPO la madaktari wa Yanga chini ya Mtunisia, Youssef Ammar, umewaruhusu viungo wao, Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Khalid Aucho...

READ MORE

Simba Yaipa Yanga Siku Tano Tu Kuandaa Silaha za Kuwaangamiza Ligi Kuu

UONGOZI wa Simba SC, umesema hivi sasa nguvu zao wamezielekeza katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika...

READ MORE

Mayele Ataja Kinachompa Kiburi Kwa Simba “Hawana Presha ya Ubingwa”

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele, amesema katika mchezo ujao dhidi ya Simba, wataingia uwanjani wakiwa hawana presha ya ubingwa...

READ MORE

Winga wa Orlando Amtaja Mchawi wa Simba “Wingi wa Mashabiki Kwa Mkapa”

WINGA wa Orlando Pirates ya nchini Afrika Kusini, Gabadinho Mhango, ametaja sababu kubwa inayowafanya Simba kupata matokeo mazuri katika michezo...

READ MORE

Kisa Orlando… Simba Yawaficha Morrison, Sakho Sehemu Tulivu Zaidi Dar

KATIKA kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya Orlando Pirates, uongozi wa Simba umepanga kuwahamisha kambi...

READ MORE

Mshindi wa Bet Bonanza Aelezea Furaha Yake ya Ushindi Baada ya Kushinda Milioni 15

MSHINDI wa droo ya mwisho na kubwa ya Bet Bonanza ya Sportpesa, George Jafari Kimaro, leo asubuhi amefika katika ofisi...

READ MORE

Simba Yashusha Pacha Wa Inonga Beki wa Kisiki wa Cape Town City ya Afrika Kusini

HATIMAYE uongozi wa Simba, kupitia kamati ya usajili umeamua kufanya kweli kwa beki wa Cape Town City ya Afrika Kusini,...

READ MORE

Lukaku Kutimka Chelsea, Ampiga Chini Wakala wake na Kujiunga na Raiola

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Chelsea ambao ni Mabingwa wa Ulaya kwa ngazi ya vilabu Romelu Lukaku anafikiria uamuzi wa kubadili...

READ MORE

Mwakinyo Asaini Mkataba wa 232m Marekani, Watu Wasahau Kuona Akicheza Nchini

INAELEZWA bondia namba moja Tanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kusaini mkataba wa kucheza ngumi nchini Marekani wenye thamani ya Sh milioni...

READ MORE

Orlando Pirates Wataja Siku ya Kutua Nchini Alhamisi kwa Ajili ya Kuwawinda Simba

UONGOZI wa klabu ya Orlando Pirates umeweka wazi kuwa utatua nchini Alhamisi au Ijumaa tayari kwa ajili ya maandalizi ya...

READ MORE

Kocha Brazil Atimuliwa Kazi Baada ya Kumpiga Kichwa Mwamuzi wa Kike

KOCHA wa Klabu ya Desportivo Ferroviaria  inayoshiriki daraja la tano nchini Brazil Rafael Soriano ametimuliwa kazi baada ya kumpiga kicwa...

READ MORE

Yanga Kukipiga Dhidi ya Namungo Aprili 23 Uwanja wa Benjamin Mkapa

KLABU ya Soka ya Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wake wa Ligi Kuu ya NBC  Aprili 23 mwaka huu katika Uwanja...

READ MORE

Chukwueze Apigilia Msumari wa Mwisho, Aacha Kilio kwa Wajerumani

VIGOGO Bayern Munich hawataacha kulikumbuka jina la Samuel Chukwueze ambaye alipachika bao lililowafungashia virago katika mchezo wa hatua ya robo...

READ MORE

Benzema Hakamatiki UEFA, Apeleka Msiba Darajani kwa Mara Nyingine Tena

REAL Madrid safari ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa imejibu baada ya ushindi wa jumla ya mabao 5-4 dhidi...

READ MORE

Beki Tegemeo wa Orlando Pirates Apata Ajali Mbaya, Akimbizwa Hospitalini

BEKI wa Orlando Pirates, Paseka Mako alikimbizwa Hospitali kupewa huduma jana Aprili 12 baada ya kupata majeraha walipogongana na kipa...

READ MORE

Kiungo Mnigeria wa Coastal Union Rasmi Amuondoa Taddeo Lwanga Simba

RASMI sasa kiungo mkabaji wa Coastal Union ya mkoani Tanga, Mnigeria, Victor Akpan, anakuja kuchukua nafasi ya Mganda Taddeo Lwanga...

READ MORE