Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Thomas Kashilila asubuhi hii amemteua Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge kuwa Mwenyekiti wa uchaguzi wa Spika wa Bunge unaofanyika leo bungeni.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.