MBUNGE wa Jimbo la Mikumi kwa tiketi ya Chadema, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ akiuliza swali alilolielekeza katika Wizara ya Nishati na Madini, ameitaka Serikali ipeleke umeme katika Jimbo lake kwani kuna Bwawa kubwa la Kidatu linalozalisha umeme mkubwa lakini wananchi wake hawana umeme.
PROF JAY! Mikumi Ina Bwawa la Kidatu Lakini Inausikia Tu Umeme – Video
Comments are closed.