DC Hai Afunga Maduka ya Mwenyekiti Chadema, Aagiza Achunguzwe – Video
Share
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo kuyafunga maduka ya Mwenyekiti wa Chadema kwa kosa la kuchochea wananchi kutolipa kodi.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.