The House of Favourite Newspapers

Diamond Amtambulisha Maromboso Mwembe Yanga Temeke

Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz akifanya shoo Uwanja wa Mwembe Yanga, Tandika leo wakati wakitambulisha ujio wa Maromboso.
…Akiongea na wapenda burudani.
Msanii kutoka label ya WCB, Maromboso akifanya shoo kali wakati wa kutambulishwa leo.
Akifanya yake.

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz leo amemtambulisha msanii mpya ndani ya label ya WCB, Maromboso leo katika Viwanja vya Mwembe Yanga uliopo Tandika, Temeke leo.

(PICHA; MUSA MATEJA | GPL)

 

Comments are closed.