DIAMONDI NA ZARI ‘WAFUNGA NDOA’ KWENYE IYENA (Picha + Video)
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameoneka kufunga ndoa na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ katika video yake mpya ya Iyena ambayo kamshirikisha Rayvanny.
Comments are closed.