Mbunge wa Kawe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake BAWACHA, Halima Mdee akifanya exclusive interview na Global TV Online amefunguka mambo mengi ikiwemo viongozi waliofanya vizuri kwa mwaka 2018 katika serikali ya awamu ya tano.
Kwenye orodha hiyo wamo; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Katibu Mkuu TAMISEMI, Eng. Mussa Iyombe.
Comments are closed.