FAT JOE AWAOMBA MAYWEATHER-50 CENT KUPATANA
Fat Joe
RAPA Mmarekani Fat Joe, amewaomba rapa 50 Cent na bondia Floyd Mayweather kuacha bifu kati yao kwani ni “ndugu” na kwamba yeye hataki kuwa msuluhishi.
Mastaa hao wawili wamekuwa wakishutumiana kwa kuitana majina mabaya na kusingiziana mambo mbalimbali yaiwemo ya jinai, hivyo Fat Joe amewataka kupatakana haraka.
Mayweather (kushoto) na 50 Cent
Wakati huohuo, Fat Joe ametoa wimbo mpya uitwao “Attention” kwa kushirikiana na Chris Brown.
Comments are closed.