The House of Favourite Newspapers

Guardiola Ashinda Tuzo ya Kocha Bora wa Epl

0

KOCHA wa Manchester City Pep Guardiola ametwaa tuzo ya kocha bora wa msimu wa 2020/21, baada ya kuiwezesha timu hiyo kushinda ubingwa wa ligi kuu.

 

Guardiola amewashinda  kocha wa Leeds United  Marcelo Bielsa, David Moyes wa West Ham United, kocha wa Leicester Brendan Rodgers na Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United.

 

Mhispania huyo ameiongoza City kutwaa Ubingwa wake wa tano ikiwa kwake ni wa tatu tangu atua kuifundisha timu hiyo.

 

Pep ametwaa ubingwa timu yake iiongoza kwa kufunga magoli mengi 82 na imeruhusu kufungwa machache 32.

Leave A Reply