MWILI wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini umepumzishwa jana Ijumaa nyumbani kwa wazazi wake katika Kijiji cha Olele wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro huku simanzi na vilio vikitawala wakati wa safari ya mwisho ya msomi huyo.
Comments are closed.