Hii Ndiyo Simba, Mavugo Adai Hukumu Ya Yanga Imefika
Kocha Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja, amesema safu yao ya ushambuliaji ipo vizuri na akishindwa kufunga Laudit Mavugo basi Ibrahim Ajibu atafunga leo.
MAVUGO ADAI HUKUMU YA YANGA IMEFIKA
Straika wa Simba, Mavugo akizungumzia mchezo wa leo, alisema: “Jumamosi (leo) ndiyo itakuwa hukumu ya Yanga kwa sababu nimejipanga kuwanyoosha na kuisaidia timu yangu kupata ushindi.”
6.Jonas Mkude
Comments are closed.