MKAZI mmoja wa Arusha anayefahamika kwa jina la Masai amefanya ubunifu wa aina yake baada ya usafiri wake wa bajaj kuwekea paa la makuti ili kuonesha utofauti bajaj nyingine.
Masai anasema wakati anatengeneza bajaj hiyo watu wengi walimuulza ilikuaje mpaka akabuni bajaj ya makuti lakini hakukatishwa tamaa na maswali ya watu hao na waliomshangaa.
Comments are closed.