Janet Jackson, Aongoza Maziko ya Baba Yake Kifamilia
MWANAMUZIKI nyota wa Marekani Janet Jackson, jana (Jumatatu) aliongoza maziko ya baba yake, Joe Jackson, akiwa na ndugu wa familia hiyo katika ibada iliyofanyika Forest Lawn huko Glendale, California, ambako Michael Jackson alizikwa pia. Mzee Jackson alikufa Jumatano iliyopita kwa kansa ya kongosho.
Michael hakumwandikia urithi wowote baba yake huyo, bali aliwaachia watoto wake na mama yake, Katherine, tu.
Comments are closed.