Je, Wewe ni Daktari au Muuguzi? Jiongezee Kipato cha Ziada Kupitia ChapRide
Je, wewe ni daktari au muuguzi na unavyo vigezo vilivyoelekezwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Ungana na Chapride Tanzania uweze kujitengezea kipato halali cha ziada hadi 2,000,000/=Tsh kwa mwezi kwa kutoa huduma ya afya katika muda wako wa ziada.
Kujiunga, tuma CV na leseni ya udaktari au uuguzi pamoja na nakala (copy) ya kitambulisho cha taifa/ kura kwenye email ifuatayo: [email protected].
Kwa maelezo zaidi
Piga simu:+255768885056.