Jezi za Timu ya Majimaji Zamwagwa Songea
PRESHA ya mchezo wa Majimaji dhidi ya Yanga ni kubwa leo mjini Songea ambapo mashabiki wa timu ya majimaji wanaendelea kununua jezi za timu yao kwa kasi asubuhi ya leo nje ya Uwanja wa Uwanja wa Majimaji.
PICHA: RICHARD BUKOS | GPL – SONGEA