JIJI LA DAR SHWARI SIKUKUU YA MUUNGANO
Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam leo waliungana na Watanzania wengine wa Bara na Visiwani katika kusherehekea miaka 54 ya Muungano ambapo sherehe za kitaifa zilifanyika jijini Dodoma.
PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
Comments are closed.