JPM amemteua Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kuwa Mkuu wa Chuo Cha UDOM
Rais Magufuli amemteua Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) kwa kipindi cha pili mfululizo, pia amemteua kwa kipindi cha pili mfululizo Profesa Ignas Rubaratuka kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania (TPA).
Comments are closed.