JPM Atoa Heshima za Mwisho Kwa Mama wa Shigongo
Rais John Magufuli ametoa heshima za mwisho kwa mwili wa mama mzazi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Global Group, Eric Shigongo, marehemu Asteria Kahabi Kapela, nyumbani kwake Mikocheni B Dar es Salaam leo asubuhi. Mama Kapela alifariki alfajiri ya kuamkia jazi (Ijumaa).
Comments are closed.