Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia kuwasalimia wanaCCM waliofika kumlaki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, jijini Dar es salaam akitokea jijini Mwanza jana Ijumaa.
Nderemo, vifijo na matarumbeta yakipulizwa wakati wa kumlaki rais Magufuli.
Rais Magufuli akipiga ngoma.