Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Bi Kate Kamba juzi Jumatatu aliwapokea wanachama zaidi ya 200 waliojiunga na chama hicho katika mkutano ulioandaliwa na tawi la chama hicho Kata ya Ubungo National Housing.
Hafla ya kuwapokea wanachama hao ilifanyika hotel ya Royal Njombe iliyopo kata hiyo na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kata hiyo na wanachama wakongwe wa chama hicho.
Baada ya wanachama hao wapya kujiunga na chama hicho Kate Kamba aliwaapisha na kuwalisha kiapo cha uadilifu katika chama hicho na kato wasikisaliti.
PICHA : RICHARD BUKOS / GPL Â Â
Comments are closed.