Katibu Mkuu ameongozana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Dkt. Abdullah Juma Saadallah pamoja na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga kwa ziara ya kuimarisha uhusiano wa vyama hivyo viwili pamoja na kuhudhuria sherehe za uzinduzi wa uwanja wa kisasa wa michezo wa Nkurunziza Peace Park Complex zitakazofanyika leo tarehe 25, Juni 2022 Makamba nchini Burundi.