The House of Favourite Newspapers

Kesi ya Masogange Yakwama Kisutu

0
Masogange.

Kesi ya kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na wakili wa utetezi wa mtuhumiwa kuchelewa kufika mahakamani hapo.

Kesi hiyo inayosikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Kisutu, Wilbard Mashauri imepangwa kusikilizwa tena Novemba 14, mwaka huu.

Tazama ‘Mauno’ ya Masogange Alipofika Kisutu Leo

Leave A Reply