Kikosi cha Simba dhidi ya Waarabu Leo
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar ambapo kihistoria, Al Masry inakuwa ni timu ya tano kutoka Misri kumenyana na Simba katika michuano ya kimataifa, tangu ilipokutana na Haras El Hodoud katika michuano ya Kombe la Shirikisho.
Comments are closed.