The House of Favourite Newspapers

Kikosi cha Simba dhidi ya Waarabu Leo

Mchezo huo unatarajiwa ku­pigwa saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar ambapo kihistoria, Al Masry inakuwa ni timu ya tano kutoka Misri kumenyana na Simba katika michuano ya kimataifa, tangu ilipokutana na Haras El Ho­doud katika michuano ya Kombe la Shirikisho.

Comments are closed.