KIMENUKA! Mashabiki Wavamia Uwanja Kisa Penati – Video
MASHABIKI wa Klabu ya Mangolo hivi karibuni walikinukisha na kuvamia uwanjani wakati wa mechi yao dhidi ya Chasimba FC maeneo ya Boko jijini Dar, wakidai mwamuzi wa mchezo huo amewanyima peanati.
Kutoka mtaani, Global TV Ripota amenasa video tukio hilo.
Tutumie video za matukio kama haya kutoka popote ulipo kupitia WhatsApp 0753 715 779, utaklipwa mkwanja mnono papo hapo.
Comments are closed.