Kocha wa mabingwa wa Ligi Kuu England, Antonio Conte amemuandikia ujumbe mshambuliaji wake, Diego Costa kuwa hamhitaji.
Kocha huyo Muitaliano anaonekana kuelekeza nguvu zake kwa mshambulizi Romelu Lukaku kutoka Everton.
Kocha wa mabingwa wa Ligi Kuu England, Antonio Conte amemuandikia ujumbe mshambuliaji wake, Diego Costa kuwa hamhitaji.
Kocha huyo Muitaliano anaonekana kuelekeza nguvu zake kwa mshambulizi Romelu Lukaku kutoka Everton.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.