MAPOKEZI SEHEMU YA PILI
IKULU, DAR: Rais John Magufuli amesema Tanzania imekubaliana na serikali ya Misri kuja kuanzisha kiwanda kikubwa cha nyama ili kukuza ushirikiano wa kibiashara baina ya nchi hizi mbili.
Aidha, Tanzania na Misri zimekubaliana kuendeleza ushirikiano katika maeneo mbalimbali ya Kiuchumi, Elimu, Afya na Utalii.
MAPOKEZI SEHEMU YA KWANZA