The House of Favourite Newspapers

FT: SIMBA 1-0 NDANDA FC, UWANJA WA TAIFA, DAR

FULL TIME

Mwamuzi anamaliza mchezo.

Dk ya 90: Zinaonyeshwa dakika nne za nyongeza.

Dk ya 87: Simba wanaendelea kutengeneza nafasi za kufunga lakini mambo ni magumu.

Dk ya 87: Simba wanaendelea kutengeneza nafasi za kufunga lakini mambo ni magumu.

Dk ya 84: Inapigwa faulo kipa anapangua, Okwi anaingiza wavuni lakini anakuwa ameotea.

Dk ya 82 Rashidi Juma wa Simba anachezea faulo karibu na eneo la 18, inakuwa faulo.

Dk ya 79: Mshambuliaji John Bocco anapuliziwa filimbi, ameotea.

Dk ya 79: Mshambuliaji John Bocco anapuliziwa filimbi, ameotea.

Dk ya 75: Kunatokea mvutano kwenye benchi la Ndanda kutokana na mabadiliko ya wachezaji. Wanalaumiana, Mchezo unaendelea.

Kikosi cha Simba kilichoanza dhidi ya Ndanda FC

Dk ya 70: Beki wa Ndanda, Ibra Job yupo chini, ameumia, anatibiwa.

Dk ya 69: Jonas Mkude anapiga pasi kadhaa.

Dk ya 67: Okwi anachezewa faulo na Ayub Masoud, anapewa njano.

Dk ya 60: Mchezo umepunguza kasi kwa timu zote

Dk ya 53: Kasi ya mchezo imepungua.
Dk ya 48: Kapombe anapata pasi inakuwa ndefu na kuwahiwa na kipa wa Ndanda.
Dk ya 53: Kasi ya mchezo imepungua.

Dk ya 48: Kapombe anapata pasi inakuwa ndefu na kuwahiwa na kipa wa Ndanda.
Dk ya 47|: Simba wameanza kwa kasi.


Kipindi cha pili kinaanza.
Mapumziko
Dk ya 45 + 3: Kipindi cha kwanza kimekalika.
Dk ya 45: Zinaonyeshwa dakika tatu za nyongeza.
Dk ya 45: Ndanda wanapata faulo nje ya eneo la 18.
Dk ya 44: Simba wanafika tena langoni mwa Ndanda lakini wanakosa umakini.
Walinzi walijua anatoa pasi lakini ghafla akapiga shuti kali.
Dk ya 42: Okwi anaipatia Simba bao kwa shuti kali.
Goooooooooooooooooooo!!!

Kikosi cha Ndanda FC dhidi ya Simba.

Dk ya 38: Shomari Kapombe anapiga kona, kipa anaokolewa.
Dk ya 37: Simba wanapata kona, beki Willian Luciana wa Ndanda anaumia akimkaba Okwi.
Dk ya 36: Okwi anajaribu kuwatoka walinzi wa Ndanda wanakuwa makini kumdhibiti.

Dk ya 37: Simba wanapata kona, beki Willian Luciana wa Ndanda anaumia akimkaba Okwi.
Dk ya 36: Okwi anajaribu kuwatoka walinzi wa Ndanda wanakuwa makini kumdhibiti.
Dk ya 30: Simba wanapata kona.

Dk ya 26: Mpira unachezwa zaidi eneo la Ndanda.
Dk ya 25: Simba wanashambulia lango la Ndanda lakini walinzi wanakuwa makini na kuokoa.
Dk ya 20: Simba wanapata faulo karibu na lango la Ndanda, anapiga Kichuya inakuwa kona.
Dk ya 18: Ndanda wanapata kona, inapigwa inaokolewa. Dk ya 10: Ndanda wanaonysha kuwa imara na wanapiga pasi kadhaa.

Dk ya 5: Kichuya anapata nafasi ya kupiga kona anashindwa.
Dk ya 3: Simba wanapata kona, inapigwa lakini Ndanda wanaokoa.

Dk ya 2 Simba wananza kwa kujiamini.

 

Mchezo umeanza.

Timu zimeshaingia uwanjani kwa ajili ya kuanza mchezo.

Simba inaingia uwanjani kukipiga dhidi ya Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa.

Kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Ndanda FC, mchezo wa Ligi Kuu Bara

1. Aishi Manula

2. Nicholas Gyan

3. Asante Kwasi

4. James Kotei

5. Yusuph Mlipili

6. Erasto Nyoni

7. Shomary Kapombe

8. Jonas Mkude

9. John Bocco

10. Emmanuel Okwi

11. Shiza Kichuya

Kikosi cha akiba

12. Said Mohamed

13. Hussein Mohamed

14. Paul Bukaba

15. Mzamiru Yassin

16. Said Ndemla

17. Rashid Juma

18. Laudit Mavugo

PICHA: RICHARD BUKOS | GLOBAL PUBLISHERS

Comments are closed.