The House of Favourite Newspapers

Yanga Yakaa Kileleni Baada Ya Kuifunga Mwadui 2-0

yanga-12

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia kwa pamoja (Picha na Maktaba)

Full Time: Yanga 2 – 0 Mwadui,  Mfungaji wa Yanga ni  Obrey Chirwa mabao yote mawili.

Dakika ya  89: Dida anatoka na kuidaka vizuri krosi ya Nonga ambaye aliuwahi mpira pembeni
Dakika ya 87:  Yanga wanaendelea kulisakama zaidi lango la Mwadui

Dakika ya 85: Gooooooooooooooooooooooooo! Yanga wanapata bao la pili mfungaji ni Obrey Chirwa

Dakika ya  Mabadiliko : Amisi Tambwe anatoka anaingia

Dakika ya 74:  Mwadui wanashambulia wanakosa bao

Goooooooooooooooooooooooo! Chirwa anaiandika Yanga bao safi hapa baada ya shuti la Msuva, Kado akatema na yeye akaunganisha

Dakika ya 67: Yanga wanapata nafasi ya kufunga, wanakosa wanapiga kizembe

Dakika ya 64: Mabadiliko Yanga wanamtoa Haruna na nafasi yake inachukuliwa na Chirwa

Dakika ya 63; Bado Yanga 0-0 Mwadui

Dakika ya 61:  Mwadui wanakosa goli na Dida anadaka kwa kulala

Dakika ya 58: Yanga wanacheza vizuri na kufanya mashambulizi kadhaa lakini wanakosa umakini langoni mwa Mwadui FC

Dakika ya 57: Yanga wanashambulia kwa kasi

Dakika ya 52: Kaseke anakwenda benchi nafasi yake inachukuliwa na Emmanuel Martin

Kadi  Dakika ya 49 Mwamuzi Jonesia Lukyaa anamlamba Cannavaro kadi ya njano kwa kucheza rafu
Dakika ya  46, Yanga wanaanza kwa kasi, wanakuwa wa kwanza kufika kwenye lango la Mwadui. Goal kick

Kipindi cha pili Kimeanza ndani ya Uwanja wa Taifa

Mapumziko

Dakika za nyongeza, Msuva anapiga shuti kali linaloishia kwa mlinda mlango Shabani Kado.

Dakika ya 44: Zimeongezwa dakika 2 kuelekea mapumziko

Dakika ya 42: Kipa wa Yanga, Dida anacheza faulo mchezaji wa Mwadui

Dakika 41:  Yanga wanapata kona kuelekea katika lango la Mwadui, Yanga wanakosa gori

Dakika ya 37:  Bado hakuna aliyefumania nyavu mpaka sasa.

Dakika ya 31, Mustappha anatoa mpira nje, inakuwa kona langoni kwa Mwadui FC

Dakika ya 26 sasa, Mwadui FC wanaonekana wamejipanga kujilinda sana na mashambulizi ya kushitukiza

Dakika ya 21: Mwadui wanapata faulo

Dakika ya 20: Yanga SC 0-0 Mwadui FC

Dk 18, Mwadui FC wanaonekana wakiwa wametulia, angalau wanagonga hata pasi tano. Lakini Yanga wanaendelea kufika langoni mwa Mwadui FC

Dk 12, Kado yuko chini akipatiwa matibabu

Dakika ya 12 Shaaban Kado anafanya kazi nzuri ya kuokoa michomo kadhaa ya washambuliaji wa Yanga.

Dakika  ya 9, Kado anafanya kazi ya ziada kuudaka mkwaju wa Msuva. Yanga wanaendelea kushambulia kwa kasi kutafuta bao la kuongoza

Hali ya Hewa ni murua kabisa kutoka Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam. Dakika ya 6 bado Yanga 0-0 Mwadui

mwa

Kikosi cha timu ya Mwadui Fc

Dk 5, Msuva anauwahi mpira wa krosi ya Juma Adul lakini anashindwa kulenga lango
Dk 4, krosi maridadi ya Mwinyi Haji lakini Kado anaruka juu na kupangua

Dakika ya 1 Mechi imeanza Mwadui wakianza kusukuma mashambulizi ingawa, lakini Yanga wanakuwa wa kwanza kufika kwa Mwadui na kipa Shabani Kado anaondosha hatari

Kikosi cha Mwadui:  Mobby, Kado, Cholo, Mustapha, Ndeule, Kabunda, Khalphani, Awadhi, Nonga Salim Khamis na Seseme.

Kikosi cha Yanga SC

1. Deogratius Munishi
2. Juma Abdul
3. Haji Mwinyi
4. Nadir Haroub
5. Kelvin Yondani
6. Justin Zullu
7. Saimoni Msuva
8. Thabani Kamusoko
9. Amissi Tambwe
10. Haruna Niyonzima
11. Deusi Kaseke
Akiba
– Beno Kakolanya
– Oscar Joshua
– Yusufu Mhilu
– Emanuel Martin
– Juma Saidi
– Obrey Chirwa
– Geofrey Mwashuiya

Shinda Nyumba Awamu ya Pili Yatikisa Jiji la Dar es Salaam

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Save

Comments are closed.