The House of Favourite Newspapers

Lynn: Sasa Nipo Tayari Kuolewa na DIAMOND – Video

Video Queen maarufu nchini Tanzania, Lynn amesema kuwa yupo tayari kuolewa na msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na hata mpenzi wake anajua hilo.

Akizungumza na Waandishi kwenye red carpet ya Biko Jibebe Challenge usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Linny amesema kitokea nafasi hiyo atakuwa tayari.

 

“Yeah! kwa sababu ni mwanaume, siwezi kusema hapana,” amesejibu Lynn.

Utakumbuka kuwa Lynn alipata umaarufu mkubwa pindi alipotokea kwenye video ya msanii Rayvanny inayokwenda kwa jina la Kwetu.

Comments are closed.