Maajabu: Gari Latumbukia Kwenye Nyumba Ya Mtu -Video
KATIKA hali ya kushangaza, Gari moja la kusambaza mafuta limepata ajali na kutumbukia kwenye nyumba ya mama mmoja huko maeneo ya Kilomeni Sofe mkoa wa Kilimanjaro, na kusababisha taharuki kwa wakazi wa nyumba hiyo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx