The House of Favourite Newspapers

Mabingwa wa NBA Wakiongozwa na LeBron James Walivyoenda Kumuaga Obama Ikulu

MAREKANI: Staa wa kikapu nchini Marekani katika Ligi ya NBA, LeBron James ameiongoza timu yake ya Cleveland Cavaliers kutembelea ikulu ya nchi hiyo kutokana na kutwaa ubingwa NBA msimu uliopita.

3a3ec00800000578-3921550-image-a-77_1478808457709 3a3ec14800000578-3921550-image-a-80_1478808942880 3a3edb4900000578-3921550-image-a-79_1478808887673 3a3ef17800000578-3921550-image-a-88_1478809923012 3a3f1e7700000578-3921550-image-a-120_1478813177216Obama akikabidhiwa jezi ya Cleveland.

3a3f34a700000578-3921550-image-a-115_1478813128506 3a3f34b600000578-3921550-image-m-111_1478813055286Wachezaji wakipiga selfie mbele ya jengo la Ikulu. 3a4365ce00000578-3926678-james_and_the_first_lady_pose_for_a_selfie_as_frye_photobombs_in-a-11_1478857937015LeBron James akipiga selfie na mke wa Obama.

3a43109a00000578-3926678-lebron_james_front_right_posted_a_selfie_with_his_cleveland_team-a-9_1478855998125 3a43485800000578-3926678-michelle_obama_takes_part_in_the_mannequin_challenge_with_the_ca-a-15_1478863766912Michelle Obama akitaniana na wachezaji wa Cleveland.3a44017000000578-3926678-james_and_the_first_lady_strike_a_pose_during_the_mannequin_chal-a-18_1478864444836

Cleveland Cavaliers star LeBron James speaks as Democratic presidential candidate Hillary Clinton listens during a campaign stop at Cleveland Public Hall in Cleveland, Sunday, Nov. 6, 2016. (AP Photo/Phil Long)James alikuwa ni sapota wa Hillary Clinton katikauchaguzi wa rais, lakini Donald Trump ndiye aliyeibuka mshindi.

Wakiwa ikulu jana Alhamisi wachezaji wa timu hiyo walijumuika na rais wa nchi hiyo, Barrack Obama na mkewe, Michelle Obama ikiwa pia ni sehemu ya kumuaga kabla hajaondoka madarakani kumpisha Donald Trump ambaye amechaguliwa katika uchaguzi wa rais ulifanyika wiki hii.

Imekuwa ni kawaida timu inaposhinda NBA kupata nafasi ya kwenda kutembelea mjengoni hapo maarufu kwa jina White House.

Katika hotuba yake aliyoitoa kwa wachezaji hao, Obama alimsifia James kwa kuonyesha uwezo wa juu na kueleza kuwa ni mchezaji ambaye hana ubinafsi anapenda mafanikio ya wengi, anajituma na ana nidhamu ya kazi.

halotel-1

Comments are closed.