Madiwani Wawili Chadema Wajiunga CCM Arusha
MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia cha Maendeleo (Chadema) mmoja wa kata ya Daraja Mbili, Prosper Msofe na Diwani wa kata ya Terrat, Obeid Meng’oriki, wamejiuzulu na kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kile walichoeleza kuwa ni kuunga mkono juhudi za Rais John Magufuli.
Comments are closed.