Makamu wa Rais Dkt. Mpango Arejea Nchini Akitokea Davos Nchini Uswisi
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdor Mpango amerejea nchiniTanzania akitokea Davos nchini Uswisi alipomuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani.