The House of Favourite Newspapers

Makonda Ashtukiza Ujenzi wa Soko Magomeni – Video

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, jana Jumanne, Oktoba 01, 2019 alifanya ziara katika Wilaya ya Kinondoni kukagua ujenzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali.

Comments are closed.