MALKIA WA NGUVU: FARAJA KOTA Anyakulia TUZO ya MHAMASISHAJI 2019
KATIKA hafla ya kilele cha Tuzo za Malkia wa Nguvu zilizoandaliwa na Clouds Media na kufanyika katika Ukumbi wa Julius Nyerere, wanawake mbalimbali watapokea tuzo kulingana na vitengo vilivyoandaliwa ambapo mapema katika tuzo hizo.
Tuzo hizo zinazofanyika leo Jumamosi, Aprili 6, 2019, aliyekuwa Miss Tanzania 2004, Faraja Nyalandu Kota ameshinda tuzo ya mwanamke ambaye ni mhamasishaji.
Comments are closed.