The House of Favourite Newspapers

Man U Yaitungua Man City 3-2 Nyumbani Kwao, Pogba Atupia 2

KLABU ya Manchester United wakiwa ugenini wameitwanga timu ya Man City kwa jumla ya bao 3-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya uingereza ulimalizika usiku huu.
Man City walianza mchezo kwa kasi ya ajabu na kuwapoteza kabisa Man U, jambo ambalo liliwafanya kumiliki mpira kwa kiwango kikubwa katika kipindi chote cha kwanza.
Man City ambao ni vinara wa Ligi hiyo ndiyo walikuwa wa kwanza kutikisa nyavu za United kunako dakika ya 25 kupitia kwa Vincent Kompany aliyemalizia mkwaju wa kona kwa kichwa chake.

Dakika 5 baadaye Ilkay Guendogan akaingia na kuiandikia Man City bao la pili ambalo lilidumu mpaka mwisho wa kipindi cha kwanza.

Kipindi cha pili Man U waliingia na moto wa kufa mtu huku wakiishambulia City kwa nguvu jitihada zilizozaa bao la kwanza kupitia kwa Paul Pogba kunako dakika ya 53.
Dakika mbili baadaye, Pogba alirudi tena nyavuni na kuandika bao la pili na la kusawadhisha kwa Man U kunako dakika ya 55 kabla ya Raheem Sterling kufunga bao la tatu na la kuongoza dakika ya 63.

MSIMAMO

  • Team P GD Pts
    1 Manchester City 32 66 84
    2 Manchester United 32 38 71
    3 Liverpool 33 40 67
    4 Tottenham Hotspur 32 37 67
    5 Chelsea 31 23 56
    6 Arsenal 31 17 51
    7 Burnley 32 3 49
    8 Leicester City 32 3 43
    9 Everton 33 -15 41
    10 Newcastle United 32 -8 38
    11 Bournemouth 33 -12 38
    12 Watford 33 -17 37
    13 Brighton and Hove Albion 32 -14 35
    14 West Ham United 31 -18 33
    15 Swansea City 32 -19 32
    16 Huddersfield Town 33 -28 32
    17 Crystal Palace 33 -19 31
    18 Southampton 31 -18 28
    19 Stoke City 33 -33 27
    20 West Bromwich Albion 33 -26 21

Comments are closed.