Baiskeli la miguu mitatu maarufu kwa jina la ‘Guta’ limepinduka katika eneo la Wafanyabiashara maarufu Machinga Complex Ilala jijini Dar es Salaam na kusababisha magari yaliyokuwa yakipita eneo hilo kupita kwa taabu kutokana na mzigo uliokuwa umepakizwa katika guta hilo kuangukia barabarani.