MASALA: Namanga Hali ni Mbaya, Waziri Tusaidie – VIDEO
Share
Mbunge jimbo la Nachingwea Hassan Masala, akichangia hoja katika bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji amemuomba Waziri Kamwelwe, amsaidie kupata visima katika Mji mdogo wa Namanga kwani hali ni mbaya maeneo hayo na wananchi wanateseka sana.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.