Mastaa Wa Bongo Washinda Tuzo Za Abryanz Style & Fashion Awards 2016, Kampala Uganda
Mwanamitindo Hamisa Mobeto akiwa na tuzo ya Fashionista Of The Year East Africa baada ya kushinda.Msanii wa Nigeria, Waje.
Akosua Veronica
Vanessa Gyan
Mastaa mbalimbali wakiwa katika mapozi tofauti.
Zynell Zuh
Usiku wakuamkia leo zilifanyika tuzo za Fashion zinazojulikana kama Abryanz Style & Fashion Awards (ASFA 2016) katika hoteli ya Serena, Kampala Uganda, tuzo hizi zilihusisha mastaa mbalimbali kutoka Afrika wakiwemo mastaa wa Tanzania. Mastaa wa Tanzania walioshinda tuzo hizo ni Millen Magese, Martin Kadinda, Vanessa Mdee, Alikiba, Hamisa Mobetto, Alikiba, Wema Sepetu na Idris Sultan
List ya washindi wa tuzo za ASFA 2016
Humanitarian award – Millen Magese (Tanzania)
Best Dressed Celebrity West Africa – Deborah Vanessa(Ghana)
Continental Style & Fashion Influencer Female – Bonang Matheba (South Africa)
Continental Style & Fashion Influencer Male – David Tlale (South Africa)
Fashion Designer Of The Year UG – Anita Beryl (Uganda)
Fashion Designer Of The Year East Africa – Martin Kadinda (Tanzania)
The Most Stylish Artiste in Uganda – Eddy Kenzo (Uganda)
The Most Stylist Artiste East Africa Female – Vanessa Mdee (Tanzania)
The Most Stylish Artiste East Africa – Alikiba (Tanzania)
The Most Stylish Couple – Annabel Onyango na Marek Fuchs (Kenya)
Fashionista Of The Year Male – Abduz (Uganda)
Fashionista Of The Year East Africa – Hamisa Mobetto (Tanzania)
Most Fashionable Music Video – Bebe Cool (Uganda)
Best Dressed Celebrity East Africa Female – Wema Sepetu (Tanzania)
Best Dressed Celebrity East Africa Male – Jamal Gaddafi (Kenya)
Most Fashionable Music Video Africa – AJE – Alikiba (Tanzania)
Best Dressed Media Personality/Entertainer – Idris Sultan (Tanzania)
Comments are closed.