Matokeo ya Droo ya Robo Fainali Uefa Champions League Yaanikwa
Droo ya upangaji wa timu zitakazokutana kwenye hatua ya robo fainali, Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya tayari imeshafanyika.
Jumla ya timu 8 zilizokuwa zimefuzu kuingia hatua hiyo tayari kila mmoja ameshapangiwa mwenzake.
Mpangilio huo umekamilika kwa namna hii
Comments are closed.