The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

UEFA

Fainali ya UEFA Kupigwa Ureno

NYON, Uswisi: SHIRIKISHO la Soka la Ulaya (UEFA) limethibitisha kuwa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu kati ya Chelsea na Manchester City itapigwa katika Uwanja wa Dragao, jijini Porto, Ureno Mei 29, mwaka huu. …

Ureno Wautema Ubingwa wa Uefa Nations League

TIMU ya Taifa ya Ufaransa imekuwa timu ya kwanza kutinga kwenye Fainali za UEFA Nations League ambazo ( zile timu 4 za mwisho ) baada ya kuibuka kidedea dhidi ya bingwa mtetezi Ureno kwa bao 1-0. Ufaransa wanaongoza kundi C…

MADRID, DORTMUND ZATUPWA NJE UEFA

REAL Madrid wameendelea kuandamwa na matokeo mabaya msimu huu baada ya usiku wa kuamkia leo kuchapwa mabao 4-1 na Ajax na kuondolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Madrid wakiwa kwenye dimba lao la Santiago Bernabeu,…