TIMU ya Simba wamefanikiwa kushinda mabao 3-0 dhidi ya Stand United katika mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa leo uwanja wa Taifa.
Kocha wa Mbao FC Amri Said amesema utulivu wa wachezaji umewasaidia kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo uliochezwa uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.
Kocha wa Lipuli Seleman Matola amesema wamepoteza mchezo kutokana na washambuliaji wake kushindwa kutumia nafasi walizotengeneza wamekubali kufungwa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Samora Iringa.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.