Wizara ya Kilimo Yatoa Majina Waliofariki Katika Ajali, Singida
Wizara ya Kilimo na Chakula imetoa majina ya watumishi 5 waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea leo asubuhi eneo la Njirii Wilaya ya Manyoni mkoani Singida.
1. Stella Ossano (39)
2. Esta Mutatembwa (36)
3. Abdallah Mushumbusi (53)
4. Charles Somi
5. Erasto Mhina (43)
Comments are closed.