Dada Anyongwa na Mpenzi Wake Hotelini, Kaka wa Marehemu, Wafanyakazi Wasimulia – Video
MATUKIO ya wanawake kuuawa kikatili na wapenzi au waume zao yameendelea kutikisa, baada ya mwanamke mmoja mmiliki wa saluni ya Madam Beauty Point, anayefahamika kwa jina la Leonia Julius, kudaiwa kunyongwa na mpenzi wake wakiwa hotelini… Global TV imezungumza na ndugu na wafanyakazi wake wa saluni ambao wameelezea mkasa mzima.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx