MWILI Mdogo wa Mwandishi na Mpigapicha Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers, Richard Bukos, Mary Bukos unatarajiwa kuzikwa leo Desemba 30, 2017 katika Makaburi ya Mianzini Mburahati jijini Dar es Salaam.
Mary alifariki juzi jijini Dar es Salaam baada ya kuugua ghafla.
Wafanyakazi wa Global, ndugu, jamaa na marafiki pamoja na waombolezaji wengine wa maeneo ya Mburahati wamejumuika katika kuuaga mwili wa marehemu.
NA DENIS MTIMA | GPL
Comments are closed.