Meli ya Mfalme wa Oman Imeondoka Kuelekea Zanzibar Tanzania
Meli ya Mfalme wa Oman, Sultan Qabous imeondoka Leo kuelekea Zanzibar Tanzania. Ikifika huko Zanzibar itafanya safari ya kwenda Dar-es Salaam Tanzania na Mombasa Kenya.
Inategemewa kufika Zanzibar Tarehe 13 Oktoba 2017 au 14 Oktoba 2017. Ikiwa na mawaziri na wasaidi wake