The House of Favourite Newspapers

Meya wa Jiji Dar Ahudhuria Kuagwa kwa ‘Bikira wa Kisukuma’ Leaders Club

0
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, akiongea wakati wa kuaga mwili wa Seth Katende leo katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Jimbo la Kawe (Chadema) Halima Mdee,akiongea alivyoguswa na msiba wa Seth Katende ambaye mama yake alimfundisha mbunge huyo.
Msanii wa vichekesho MC Pilipili (kulia) akiwa na waombolezaji wengine.
Meya wa Ubungo, Boniphace Jacob (kulia) akiwa msibani.

MWILI wa marehemu Seth Katende ‘Bikira wa Kisukuma’, aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha redio cha Efm, kipindi cha Ubaoni, umeagwa katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam,  ambapo baada ya kumalizika kwa shughuli hizo, safari ya kuelekea kwenye makazi yake ya milele, kwenye Makaburi ya Kinondoni ilianza na hatimaye maziko yamefanyika leo mchana wa Julai 12, 2017.

(PICHA: AMANI MADEBE, HILALY DAUDI | GLOBAL TV ONLINE)

Leave A Reply