MEYA WA MANISPAA YA UBUNGO ALIVYOFUTURISHA
MEYA wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, jana waliwafuturisha wakazi wa manispaa hiyo kwenye ofisi ya Kata ya Ofisa Mtendaji Kata ya Ubungo, Dar es Salaam, ambapo tukio hilo lilihudhuriwa na umati wa wakazi wa eneo hilo na wapita njia.
Baada ya kufuturu wakazi hao walimshukuru meya huyo kwa kitendo hicho cha kuwakumbuka katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Matukio katika picha:
Wananchi wakisubiri muda wa kufuturu.
HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
Comments are closed.