The House of Favourite Newspapers

MKAZI WA MBAGALA AJISHINDIA GARI AINA YA RENAULT KWID

Mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid katika promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani (kushoto) Mkazi wa Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam, akionyesha funguo za gari pamoja na kadi ya gari hilo mara baada ya kukabidhiwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi wakati wa hafla ya kumkabidhi iliyofanyika katika Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es alaam. Yamebakia magari matano ili kushinda mteja wa Vodacom anatakiwa kutumia huduma ya M-Pesa tu.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi (wa pili kushoto) akimpongeza mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid la promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani wakati wa hafla ya kumkabidhi gari lake iliyofanyika katika Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid katika promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa,Salum Chande mkazi wa Mbagala Rangi Tatu (aliyekaa ndani ya gari) akishuhudiwa na mama yake mzazi wa pili kushoto wakati akipongezwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi wakati wa hafla ya kumkabidhi iliyofanyika katika Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es alaam
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi (kulia) akishuhudia familia ya mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid la promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani akiwa amebebwa juu kwa furaha ya ushindi

Mshindi wa gari la tano aina ya Renault Kwid katika promosheni ya kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Salum Chande Athumani Mkazi wa Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam, amekabidhiwa zawadi yake  na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi wakati wa hafla ya kumkabidhi iliyofanyika katika Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es alaam. Yamebakia magari matano ili kushinda mteja wa Vodacom anatakiwa kutumia huduma ya M-Pesa tu.

Comments are closed.