MSHINDI WA PILI BSS: “Niliumia Sana Alivyotangazwa Sarafina Mshindi” – VIDEO
Shindano la Bongo Star Search ‘BSS’ mwaka 2018 lilikuwa na ushindani mkubwa tofauti na miaka yote kutokana na shindano hilo kutokuwepo kwa muda mrefu na kisha kuibuka tena mwaka jana ambapo taji la ushindi lilikwenda kwa Mwanadada Sarafina akifuatiwa na Sagwire Mwasongwe.
Global TV imepiga stori na Sagwire ambaye amesimulia A-Z alivyoanza harakati zake mpaka kufika shindano hilo huku akiweka wazi kuwa aliumizwa sana na matokeo ya shindano hilo kwani hakutegemea kuwa mshindi wa pili.
Comments are closed.